Kagera yatakata matokeo darasa la nne

Wanafunzi katika moja ya shule za msingi mkoani Kagera

Mkoa wa Kagera umetakata katika matokeo ya mtihani wa upimaji wa kitaifa wa darasa la nne kwa kukamata nafasi ya kwanza kitaifa licha ya mkoa huo kukumbwa na janga la tetemeko la ardhi mwezi Septemba mwaka 2016.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS