Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa safari ya Dar - Dodoma ya ndege za ATCL iliyofanyika mjini Dodoma leo, na kutolea ufafanuzi suala la njaa
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameeleza sababu ya kupanda kwa bei ya vyakula masokoni, na kusema hali hiyo inasababishwa na uhaba wa chakula katika nchi jirani