Maneno ya Okwi baada ya kuifungia Uganda goli 2

Kikosi cha timu ya taifa ya Uganda.

Mshambuliaji wa zamani wa Simba, Emmanuel Okwi amewashukuru wachezaji wenzake wa timu ya taifa ya Uganda, baada ya ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Ethiopia kwenye mechi ya kirafiki huku yeye akifunga goli hilo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS