Kisa cha Askari na Waandishi,kifo cha Nyerere
Wakati Watanzania wakiungana kwa pamoja kuazimisha miaka 20 tangu kitokee kifo cha Baba wa Taifa wa Mwalimu Julius Nyerere, moja ya matukio ambayo yanakumbukwa zaidi ni tukio la kupigwa mtama kwa aliyekuwa Msaidizi wa wa RPC wa Mkoa wa Dar es salaam, Alfred Gewe,

