Kaseja aeleza wanachotarajia leo dhidi ya Rwanda
Kuelekea mchezo wa kirafiki leo dhidi ya Rwanda, nahodha wa Taifa Stars Juma Kaseja, amesema mchezo huo utatoa picha kamili kwa kocha wa kikosi hicho Etienne Ndayiragije kuelekea mchezo wa CHAN dhidi ya Sudan.

