Rais Magufuli akumbuka bakora za Nyerere
Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, amesema moja ya vitu ambavyo Mwalimu Nyerere alikuwa akivikemea ni suala rushwa na kueleza alihakikisha watuhumiwa wa rushwa, walikuwa wakichalazwa bakora 12 wakati wa kuingia jela, na kupigwa bakora 12 wakati wa kutoka jela.

