"Hata Mwalimu aliwachapa kina Sitta Ikulu"- Wasira

Stephen Wasira

Aliyewahi kuwa Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika na Mkuu wa Mkoa wa Mara, Stephen Wasira amezungumza jinsi kipindi cha miaka 7 ya Ukuu wa Mkoa wa Mara ulivyomsaidia kumfahamu vizuri hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS