"Hata Mwalimu aliwachapa kina Sitta Ikulu"- Wasira
Aliyewahi kuwa Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika na Mkuu wa Mkoa wa Mara, Stephen Wasira amezungumza jinsi kipindi cha miaka 7 ya Ukuu wa Mkoa wa Mara ulivyomsaidia kumfahamu vizuri hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere.

