Zitto atia neno siku tatu za Waziri Jafo 

Zitto Kabwe

Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa Chama cha ACT - Wazalendo, Zitto Kabwe amemuomba Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo kuongeza siku zingine ili kutoa nafasi zaidi kwa wananchi kujitokeza katika zoezi la kujiandikisha kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS