Zitto atia neno siku tatu za Waziri Jafo
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa Chama cha ACT - Wazalendo, Zitto Kabwe amemuomba Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo kuongeza siku zingine ili kutoa nafasi zaidi kwa wananchi kujitokeza katika zoezi la kujiandikisha kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

