Wanafunzi wa darasa la 7 waliofutiwa matokeo

Katibu Mtendaji wa Baraza hilo Dkt Charles Msonde

Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA), limeyafuta matokeo ya watahiniwa 909, waliobainika kufanya udanganyifu katika Mtihani wa kumaliza Elimu ya Msingi na kuagiza mamlaka kuwachukulia hatua, wale wote waliohusika kufanya udanganyifu katika mitihani hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS