Wanakijiji wahoji JKT kuandikishwa kwenye daftari

Hali ya sintofahamu na majibizano ya maneno imeibuka mkoani Kigoma, baina ya Maafisa wa Serikali na wananchi wa Kijiji cha Kaseke kilichopo wilayani Kigoma mkoani humo, juu ya uhalali wa kuandikishwa kwa vijana wa mafunzo ya JKT kwenye daftari la kupiga kura.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS