Barcelona wapendekeza tarehe mpya ya El Clasco

Uwanja wa Camp Nou

Baada ya Shirikisho la soka Hispania (RFEF), kuvitaka vilabu vya Barcelona na Real Madrid vipendekeze tarehe mpya ya ElClasco, Barcelona ambao ndio wanatakiwa kuwa wenyeji wa mchezo huo wamependekeza uchezwe Desemba 18, 2019 Camp Nou.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS