Picha ya pamoja Jonas Mkude na G Nako
Kwenye picha ya pamoja ambayo ame-share msanii huyo ameandika “mtu m’ bad Jonas Mkude mwandamizi, Baba jangwani hatuna bayaa mara paap”, huku naye King Kiba akikazia kwa kusema “kabisa G hatuna bayaa”.
Mwanamuziki na shabiki wa klabu ya Yanga, G Nako ametumia ukurasa wake wa instagram kumshawishi mchezaji mwandamizi wa klabu ya Simba Jonas Mkude ili ajinge na wana jangwani hao.
Picha ya pamoja Jonas Mkude na G Nako
Kwenye picha ya pamoja ambayo ame-share msanii huyo ameandika “mtu m’ bad Jonas Mkude mwandamizi, Baba jangwani hatuna bayaa mara paap”, huku naye King Kiba akikazia kwa kusema “kabisa G hatuna bayaa”.