
Wachezaji wa Netball
Mwenyekiti wa CHANETA, Anna Kibira, amesema kuwahisha kupeleka mabingwa hao, kutarahisisha maandilizi ya kwenda vizuri.
Mikoa yote ya Tanzania Bara, inatarajiwa kupeleka mabingwa wao kwa ajili ya kupata bingwa wa ligi daraja la pili taifa, 2016.