Kushoto ni msanii Tommy Flavour, kulia ni Liah
Siku ya Ijumaa msanii wa Mesen Selekta Liah alidai haki zake za kukopiwa verse na melody zinazopatikana kwenye wimbo wake wa doa aliyoitoa miaka miwili iliyopita kutumiwa na Alikiba ambapo muandishi wa hiyo ngoma ni Tommy Flavour.
Zaidi Tommy Flavour huyu hapa akizungumzia hilo.