Picha ya Msanii Logic
Logic amesema kuwa biashara ya kuandikia wasanii nyimbo kwa Tanzania ni ngumu kutokana na wasanii hao kukataa kuingia mikataba ambayo itawafanya waandishi na wao wanufaike kutokana na mzunguko wa mauzo na matumizi ya wimbo husika.
Msikilize hapa akifunguka zaidi