Picha ya Rose Manfere baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa Miss Tanzania
Akielezea hilo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram Rose Manfere ameandika kuwa.
"Nimeona kupitia mitandao kwamba mshindi namba mbili wa Miss Tanzania atawakilisha nchi kwenye mashindano ya Miss World, mimi kama Miss Tanzania 2020/21 sina taarifa rasmi, jambo lipo BASATA tusubiri taarifa, maamuzi na muongozo wa Baraza".