Picha ya msanii XXXTentacion
Washambuliaji hao walifanikiwa kukimbia na begi la Triple X ambalo lilikuwa na fedha muda mfupi baada ya kufanya tukio hilo la uhalifu.
Kifo cha Triple X kilitokea Juni 18, 2018 akiwa na umri wa miaka 20 lakini hata hivyo washukiwa wanne wa tukio hilo walikamatwa.