Kushoto ni Meja Kunta kulia ni Bright Music
"Ngoma yangu nimemshirikisha Meja Kunta, kwa sasa naweza nikasema Meja Kunta ndiye mfalme wa muziki wa Singeli, na nimeamua kufanya Singeli kwa sababu natafuta pesa, so popote kwenye pesa mimi naenda tu" amesema Bright Music
Bright Music na Meja Kunta kwa sasa wameshirikiana kwenye wimbo mmoja unaoitwa 'demu wangu' na ngoma yao ipo trending namba 9 kwenye mtandao wa Youtube.