Msanii Diamond na gari yake mpya
Kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram imeoneakana video ikimuonyesha Diamond Platnumz akilipokea gari hilo leo nyumbani kwake baada ya kushushwa kutoka kwenye Kontena.
Aidha mwezi mmoja uliopita staa huyo wa muziki alinunua gari mpya aina ya Cadillac Escalade Sky Captain inayodaiwa ina thamani ya Tsh Milioni 811.
Zaidi jionee hapa chini akishusha gari lake hilo.