Jumanne , 27th Sep , 2022

Msanii wa BongoFleva Ommy Dimpoz "Mr PKP" amesema anataka kuwa kama Haji Manara kuhusu suala la kufanya maamuzi baada ya kuoa mke wa tano kwenye maisha yake.

Kushoto ni Ommy Dimpoz kulia ni Haji Manara akifunga ndoa na mke wake

Ommy Dimpoz ni mmoja wa waalikwa kwenye tukio la Haji Manara akifunga ndoa na msaidizi wake Rushaynah ambapo amesema 

"Wallahi nikikua nataka kuwa kama Haji, haogopi kwenye maamuzi mtu bingwa kabisa" amesikika akisema Ommy Dimpoz.