
Picha ya Diamond na alama ya TRA
Diamond ameshea hilo kwenye ukurasa wake wa Instagram baada ya kuandika ujumbe ufuatao
"Siku ya jana nilipata wasaa mzuri wa kuhudhuria Makao Makuu ya TRA, kuzungumza nao na Kupata elimu mbalimbali juu ya Kodi. kikao kilienda vyema na nikapewa elimu mbalimbali ambazo zitaongeza Ustawi bora wa kampuni na Biashara zetu, lakini pia namna sahihi ya kuendelea kuchangia pato la Taifa".
Zaidi bonyeza kutazama mazungumzo ya Diamond kuhusu elimu aliyoipata TRA.