
Picha ya Mwana Fa kushoto, kulia ni Dulla Makabila
Mwana Fa ameeleza kuwa anaamini BASATA hawatafanya maamuzi ya kumkandamiza msanii huyo kwa sababu ya ubunifu mkubwa uliotumika kwenye wimbo huu.
Zaidi tazama hapa kwenye video kusikia ujumbe mzima alioshea Mwana Fa.