Picha ya Full Tank
Akipiga stori na eNewz ya East Africa TV, Full Tank anasema "Mimi suala la kufa mapema siliwezi kwa sababu nawazia vitu vingi sana, mfano leo hii unakufa mtu unaacha vitu vizuri kama misosi chips mayai au chips kuku"
"Namuomba sana Mungu niishi kwa muda mrefu lakini kifo cha kujitakia sitaki hata siku moja" ameongeza