Watu hao ni Mageni Nkoma (70) Melisiana Ludeba (56)na Kelvin Shedrack mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi 9
Wakizungimzia tukio hilo ndugu wa familia wanaelezea jinsi ambavyo mvua kali iliyoambatana na Radi ilivyochukua uhai wa wanafamilia wemzao
Diwani na mbunge wa jimbo hilo wamewataka wananchi kuchukua tahadhari juu ya mvua ambazo zimekuwa zikiendelea ili kuepukana na madhara yanayosababisha kupoteza maisha