Akifanya mahojiano na Muandishi wa East Afri radio, mmoja kati ya waandishi waliopata shuruba ya kukamatwa na kuachiliwa, Bi Janeth amesema kuwa Kwa mujibu wa Kaimu RPC mkoni hapo amedai kuwa watu hao wanashikiliwa kwa kuwa walikuwa na kiasi kikubwa cha fedha hivyo isingekuwa salama kama wasingepatiwa usalama.
Aidha Janet ambaye ni muandishi wa habari ameongeza kuwa hadi wakati wanaondoka kituoni hapo wamewaacha Meya Kalist Lazaro, Wamiliki wa shule binasi viongozi wa dini wakiwa chini ya ulinzi wakifanyiwa mahojiano.
Sikiliza hapa chini mahojiano hayo.