Rais wa Uganda Yoweri Museveni (kushoto) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu (kulia)
Mkuu wa Mkoa wa Geita Rosemary Senyamule ameeleza.
Tazama Video hapo chini
Rais wa Uganda @KagutaMuseveni anatarajia kuwasili wilayani Chato Novemba 29, 2021 kwaajili ya kumkabidhi Rais @SuluhuSamia shule ya msingi Museveni ya mchepuo wa Kiingereza iliyojengwa na serikali ya Uganda.
Mkuu wa Mkoa wa Geita Rosemary Senyamule ameeleza. pic.twitter.com/4V3Z80tYk2
— EastAfricaRadio (@earadiofm) November 28, 2021