Rambirambi hiyo imekabidhiwa na mwakilishi wa Mh. Rais Kanali Mkeremy alipofika msibani Kinondoni. Msiba huo pia umehudhuriwa na Shekhe wa mkoa wa Dar es salaam Alhad Mussa Salum.
Kanali Mkeremy amewasilisha rambirambi hiyo kwa niaba ya Mh. Rais na kupokelewa na Shekhe Aboubakar Zubeir nyumbani kwake Kinondoni mtaa wa Ufipa ambapo ndio msiba ulipo. Shekhe Saad Zubeir Ally alikuwa amelazwa kwenye Hospitali ya taifa ya Muhimbili hadi umauti ulipomkut