Baadhi ya majeruhi waliotokana na milipuko nchini Uganda
Mlipuko huo umetokea hii leo Novemba 16, 2021, katika maeneo tofauti ya barabara ya Bunge na Kituo Kikuu cha Polisi Kampala, na kusababisha majeruhi kadhaa.
Ambapo kwa mujibu wa kituo cha Television cha Uganda cha NTV kimeeleza kuwa hadi sasa majeruhi 27 wanapata matibabu katika hospitali ya Mulago.