Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt Damas Ndumbaro
Akizungumza Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt Damas Ndumbaro, amesema kwamba mbali na bustani hiyo pia wizara itaboresha pia msitu wa Matogoro ambao mapango yake mawili yanatumika kama rufaa ya matibabu ya jadi kwa wagonjwa wanaofika hapo.
Aidha, Dkt. Ndumbaro amesema kwamba tayari bajeti ya kutengeneza barabara ya kufika katika msitu wa Matogoro ambapo kuna mapango yanayotumika kama rufaa ya wagonjwa iko tayari na mkandarasi anatarajiwa kuanza kazi.