Mamlaka za kijasusi za Marekani zinasema kuwa al-Shabab wana majeshi yapatayo 10,000 ambapo licha ya kuendeleza mapambano ndani ya Somalia, kuna mipango ya kuishambulia Marekani .
Miaka miwili iliyopita kundi hilo lilifanya mashambulizi nchini Kenya katika ubalozi wa Marekani.
Haijajulikana ni wageni wanajeshi wangapi ambao Rais Biden ameamuru wapelekwe Somalia.
Jumanne , 17th Mei , 2022
Rais Joe Biden ameripotiwa kuamuru kurejeshwa kwa mamia ya majeshi ya Marekani nchini Somalia.
Rais aliyepita Donald Trump aliyaondoa majeshi ya nchi hiyo yapatayo 700 ambayo yalikua yakilinda amani nchini humo.