Mwenyekiti wa Chemba ya Wajasiriamali Wanawake nchini TWCC, Bi. Jaqueline Mneney Maleko akionyesha Tuzo waliyoipata katika siku ya ufunguzi wa Maonyesho ya 40 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam, yaliyofanyika katika viwanja vya Mwalimu Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam hivi karibuni.

15 Jul . 2016

Mwenyekiti wa Wafanyabiashara Wanawake nchini Tanzania Bi. Jacqueline Maleko

18 Mei . 2016