Dance 100

Nimeshiriki miss universe mwaka 2011 mara baada ya kumaliza chuo  na kufanikiwa kuingia katika Top finalist.

Vilevile mwaka uliyofuata nilishiriki  miss Tanzania na kufanikiwa kushinda taji dogo la top Model (fast track)

na pia kufika hatua za juu za miss Tanzania top 5 finalist 2012.

Napendelea kufanya mazoezi, kuogelea, kucheza mziki, kusafiri, kukutana na marafiki wapya ili kubadilishana mawazo,

Napendelea pia kuangalia Cinema mbali mbali na kujifunza vitu vipya.