Kikosi hicho kimejumuisha wachezaji kutoka vilabu mbalimbali ambao wamefanya vizuri mwaka huu. Waliotajwa ni makipa Gianluigi Buffon, David De Gea, Keylor Navas, Manuel Neuer na Jan Oblak.
Walinzi waliotajwa ni Dan Alves, Bonucci, Carvajal, Chiellini, Camil Glik, Goddin, Kimmich, Marcelo, Mendy, Meunier, Pique, Ramos, Sanchez, Sandro na Valencia.
Kwa upande wa viungo ni Delle Alli, Ansensio, Casemiro, De Bruyne, Eriksen, Fabinho, Hazard, Iniesta, Isco, Kroos, Modric, Mkitharyan, Pyanic, Pogba, na Saul Niguez.
Wengine ni washambuliaji Karim Benzema, Aubamayeng, Aguero, Cavani, Dybala, Falcao, Griezman, Kane, Lewandowski, Mbappe, Mertenes, Messi, Neymar, Ronaldo na Suarez.