Adhabu hiyo imetolewa katika kikao cha Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi kupitia ripoti za michezo yote ya Ligi Kuu, Daraja
la Kwanza na Daraja Pili.
Katika mechi hiyo iliyopigwa October 28 na kumalizika kwa sare ya 1-1, bao la Simba likifungwa na Shiza Kichuya na la Yanga likifungwa na Mambia, Obrey Chirwa, ,mashabiki wa Yanga walianzisha fujo kwa kutupa makopo yanayosemekana kuwa yalikuwa na mkojo na kuleta fujo
Mabingwa hao mara tatu mfululizo, wanatarajiwa kuteremka tena dimbani,Novemba 19 Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam kumenyana na Mbeya City.