Jonas Mkude
Ajali hiyo iliyohusisha gari yenye namba za usajili T 834 BLZ, Toyota VX imetokea baada ya gurudumu la nyuma ya gari hiyo kupasuka na kusababisha kifo cha mtu mmoja aliyetambulika kwa jina moja la Shose na majeruhi kadhaa ambapo wamewahishwa kwenye hospitali ya Mkoa wa Morogoro kwa ajili ya kupatiwa matibabu.