Burkina Faso vs Cameroon
Guinea Bissau walisawazisha bao la Aubameyang lililofungwa dakika ya 51 kunako dakika ya 89 kupitia Soares
Katika mchezo wa pili, Cameroon pia imelazimishwa sare ya bao 1-1 na Burkina Faso.
Leo zinapigwa mechi mbili ya kundi B, ambapo saa 1:00 jioni Algeria inakipiga na Zimbabwe huku Tunisia ikikipiga na Senegal saa 4:00 Usiku.
Haya ndiyo makundi