
Henry ameachiwa kwa dhamana ya Ksh 200,000 na kesi yake inatarajiwa kusikilizwa April 25 mwaka huu.

Brooklyn alifunga ndoa na Nicola Peltz, mtoto wa mfanyabiashara mkubwa Marekani, Nelson Peltz mwenye utajiri wa Tsh trillioni 3.7 kwa mujibu wa jarida la Forbes.

Muima anatakiwa kutoa mahari ya ng'ombe 12 ili amuoe Theresa.

Madaktari wanasema hawajapanga kufanya upasuaji kwa watoto hao ila wapo chini ya uangalizi.

Picha ya baadhi ya wanaume wenye ndevu Afghanistan

Vidonge hivyo vitafanyiwa majaribio kwa wanaume mwishoni mwa mwaka huu.

Lewis Hamilton aliishi na mama yake Carmen Larbalestier mpaka alipofikisha miaka 12 na kuchukuliwa na baba yake

Kikundi cha Kidney Donor Athletes (KDA)

Mwanamuziki nchini Tanzania Angel Mary Kato,

Mshauri wa mahusiano, Aunt Sadaka