Picha za wanafunzi wakiwa wamevaa sare za Kilt
Unaambiwa shule hiyo ilianzishwa miaka 96 iliyopita na Missionary wa Scotland Kamanda Enest Calwell ambaye inasemekana ndio ameanzisha utamaduni wa kuvaa sare hizo.
Mkuu wa Shule hiyo amekanusha kwa kusema sare hizo za 'Kilt' sio sketi na huvaliwa kwa kawaida huko nyanda za juu Scotland.