Picha ya Rajabu Zomboko
"Oa kwa kuangalia sura, maumbile kuhusu kuchunguza usichunguze sana, chunguza kidogo tu kwa sababu unaweza mkachunguzana kwenye uchumba na mahusiano kwa miaka lakini ndoa yenu isidumu" ameeleza Zomboko
Kipindi cha MamaMia ni kila siku ya Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia saa 4:00 Asubuhi mpaka 6:00 Mchana.