Mshauri wa mahusiano, Aunt Sadaka
Kauli hiyo ameitoa hii leo Machi Mosi, 2022, wakati akizungumza kwenye kipindi cha Supa Breakfast cha East Africa Radio.
"Changamoto inakuja pale ambapo mwanaume na majukumu yake haya-reflect kwenye familia, wako wanaume wanaosimama kwenye majukumu yao vizuri sana lazima tuwapongeze, na kuna wanaume mimi ninawaita wale wa ajabu ajabu,"amesema Aunt Sadaka.