Jumatano , 8th Jun , 2022

Bara la Asia ndiyo bara la gharama zaidi kuishi kwa mujibu wa utafiti wa 'ECA International' ambapo miji mitano kutoka Asia ipo katika orodha ya miji 10 yenye gharama kubwa ya kuishi duniani.

Mji wa Seoul, Korea Kusini.

Utafiti huo umejikita katika kuangalia wastani wa bei za bidhaa za nyumbani, usafiri wa umma na thamani ya sarafu. 

1. Hong Kong
2. New York
3. Geneva
4. London
5. Tokyo
6. Tel Aviv
7. Zurich
8. Shanghai
9. Guangzhou
10. Seoul