Stephen Kamau akichoma bangi kanisani.
Kamau anasema ana furaha baada ya kubadilika na kuwa mtu bora kwenye jamii na wala hajatuii na kuhisi amepata hasara.
Kamau alipongezwa na waumini waliokuwa kanisani kwa kuacha biashara ya kuuza bangi na kumtaka ashawishi vijana wengine kuacha kufanya biashara haramu.