David Bennett akiwa hospitali.
David (57) aliyekuwa na maradhi ya moyo, alifanyiwa upasuaji Januari 7 mwaka huu nchini Marekani katika hospitali ya University of Maryland Medical Center.
Baada ya kupandikizwa moyo wa nguruwe alijumuika na familia yake baada ya wiki kadhaa na kutazama fainali za Super Bowl pamoja, na hali yake ilianza kubadilika siku kadhaa zilizopita mpaka umauti ulimpofika March 8 mwaka huu.