Jumanne , 10th Jan , 2017

Zikiwa zimepita wiki kadhaa tangu Rapa Stereo kutangaza mbele ya jamii kupitia EA Radio kuwa anahitaji penzi la Rapa Chemical na kuona anafanya mipango ya kuwa naye kama mpenzi au mchumba Rapa huyo hajakata tamaa juu ya ndoto yake hiyo.

 

Akipiga story kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Stereo amesema tayari alishapata namba ya Rapa huyo japo mara kadhaa alizomtafuta hakuweza kufanikiwa hata kuongea naye kwa kuwa zilikuwa hazipokelewi na kusema sasa inabidi atafute njia nyingine ili ndoto yake hiyo iweze kufanikiwa kwani nia yake na dhamira yake bado iko pale pale na anamaanisha.

Msikilize hapa Stereo akisimulia......