Msanii Harmonize akiwa na Q Chief
Sasa moja ya kituko kilichotokea ni pale msanii Q Chief alipomuona mpenzi wa Harmonize Kajala ambapo akatoa maneno ya utani yanayosema
"Hee Kajala nilikuwa sijakuona kweli amependeza huyu mtoto umemgharamia, hapa mdogo wangu Harmonize ndipo utakapoenda jela ndio maana umeikomalia ile kesi mtoto mzuri huyo"
Aidha kingine alichofanya Q Chief ni kuomba mabuansa wampe pesa zake ambazo alikuwa anatunzwa stejini wakati anaimba "Baunsa usiende mbali na hizo hela hebu lete tuchukue mafuta isije kuleta matatizo, sisi hatuna hela tuna wake na watoto halafu mnaelewa kila kitu nido maana tunatukanana kila siku".
Zaidi tazama tukio zima hapa chini.