Alhamisi , 7th Jul , 2022

Rapa wa Manzese Music Baby chini ya Madee Maarifa Bigthinker ameshaaacha maelekezo kwamba akifariki akazikwe Kibaha sehemu ambayo anawakilisha na ataacha nauli.

Picha ya Maarifa Bigthinker

"Niliapa nitafia booth ili baba yangu apate mboga, nawaelewa mtanipata vizuri mkinilewa mtajielewa hamtoipata shughuli niliapa mtoto wa kitaa sitopata sifuri nikifa nikazikwe Kibaha nitaacha nauli".

Maarifa amechana hivyo kwenye ngoma ya maelekezo chapter 2 aliyoshirikishwa na rapa Moni Centrozone pamoja na Rapcha.