Jumatatu , 20th Nov , 2017

Siku chache zikiwa zimepitatangu mchezaji wa soka wa Rwanda Hamad Ndikumana ambaye pia alikuwa mume wa muigizaji wa filamu Tnzania Irene Uwoya, mapya yameibuka kuhusu kifo chake cha ghafla kilichoacha majonzi kwa wapenzi wa soka.

Mdogo wa marehemu Ndikumana Laddy Ndikumana ambaye pia ni mcheza soka, amesema wanaamini kifo cha kaka yake (Ndikumana) kimesababishwa na kuwekewa sumu na watu ambao hawajawataja ni kina nani.

Akipiga stori na Big Chawa kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Laddy amesema wao kama familia wana imani kifo chake kimesababishwa na watu, na sio matatizo ya moyo kama ilivyoelezwa.

Msikilize hapa chini akisimulia