Picha ya Wema Sepetu na Danzak
Akiweka wazi taarifa hizo za ku-date na Wema Sepetu kupitia Friday Night Live ya East Africa TV na East Africa Radio Danzak amesema
"Wema ni mwanangu sana, mshkaji wangu na rafiki yangu sana. Sijui kwanini wananiita mimi shemeji wa Taifa mnanipa kesi tu ila nampenda na historia yake ina-inspire sana".
Kwa sasa staa huyo wa filamu Wema Sepetu inasemekana yupo penzini na msanii Whozu.