Akiongea na mwandishi wa habari wa East Africa Television website, Shilole amesema hakuzungumza na Baraka kuhusu kitu chochote zaidi ya kumuomba ampostie wimbo wake, hivyo anashangaa kwa kitendo cha Baraka kumwambia Mx Carter kwamba yeye ndiye aliyemwambia kwamba anahusika na kuharibu YouTube ya Baraka.
Msikilize hapa chini akitoa povu la nguvu kwa Baraka