Picha ya Alikiba na Trainer wake Denzel
Akimzungumzia Alikiba kupitia Planet Bongo ya East Africa Radio Denzel amesema
"Mimi na Alikiba tumeanza kufanya kazi mwaka jana mwezi wa 9, akanisafirisha kunipeleka South Africa kwa ajili kumtrain yeye na kunipa ujuzi tofauti tofauti ili kuwa Trainer mkubwa kwake"
"Ilibidi jana niende Kenya kuna chuo kule natakiwa nikakiangalie ili niendelee na mafunzo ya kukuza kazi yangu zaidi kwa muda wa wiki mbili. Mashavu yote hayo kwa ajili ya Alikiba, namshukuru sana".
Zaidi tazama hapa kwenye video.